• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

SERIKALI YATENGA KIASI CHA TSHS MILLIONI 400 KWA AJILI YA CHANJO YA MIFUGO

Posted on: September 27th, 2024


Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mh. Alexander Mnyeti amesema, serikali ya Awamu ya sita ya Mh. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetenga kiasi cha Tshs Millioni 400 kwa ajili ya kuchanja na kuogesha mifugo nchi nzima na tayari Zaidi ya Tshs Million 30 zimeshatoka kwa ajili ya kuanza kwa zoezi hilo.

Mh. Mnyeti aliyasema hayo wakati wa hafla fupi ya ugawaji wa madume 20 ya Ng’ombe yaliyoboreshwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda siku ya tarehe 27/9/2024 , katika kijiji cha Mariwanda kilichopo Kata ya Hunyari.


“Lengo la kugawa Ng’ombe hizi ni ili wafugaji wote muachane na ufugaji wa kizamani muanze kufuga kisasa, Mh. Rais ametuagiza mimim na Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuhakikisha tunazigawa Ng’ombe hizi katika Halmashauri zote nchini kwa ajili ya kuleta matokeo chanya na yenye tija katika ufugaji wa kisasa kwa kupata thamani ya mifugo yetu.” Alisema Mh. Mnyeti.



Naibu Waziri alisema, sababu ya Mh. Rais kuamua kugawa madume haya ni ili wafugaji waachane na ufugaji wa kizamani unaomfanya mfugaji kumiliki Ng’ombe wengi wenye gharama ndogo. Kumbe unaweza kufuga Ng’ombe wachache wenye thamani kubwa na ukapata faida Zaidi.

“Tuingie kwenye ufugaji wa kisasa kwa kuwabadilisha Ng’ombe tulionao kwa kuwapandikiza na Ng’ombe hawa walioboreshwa ili Ndama watakaozaliwa wazaliwe chotara. Ng’ombe wadogowadogo hawa na waliokondeana hawana faida wala tija kwa mfugaji.” Alisema Naibu Waziri.

Mh. Mnyeti alisema niwapongeze kwa ushirikiano mzuri na mkubwa mlionao hapa kuanzia kwa Mh. Mbunge Mwenyekiti wa chama cha wafugaji taifa na wafugaji wote, naombeni mpokee Ng’ombe hawa na niwahakikishie tutawaongezea madume wengine 20 na kupafanya mahali hapa kuwa shamba darasa kwa ajili ya kuja wengine kujifunza.


Naibu Waziri alimuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Bunda Bw. George S. Mbilinyi kuhakikisha anafanya utafiti wa kutosha wa mahali hapa na kuongeza idadi ya vikundi vya wafugaji ili wengine waweze kuja katika Halmashauri hii kujifunza.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRATIBU WA MRADI WA BCRAP ATAJA VIPAUMBELE VITAKAVYOENDA KUTEKLELEZWA KWA AWAMU YA PILI YA MRADI

    June 11, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 300 ZA POKELEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUHIMILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI

    June 09, 2025
  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda