Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji.
Utangulizi:
Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji inashughulikia uratibu, usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri, pia inahusika na Tafiti na ukusanyaji wa Takwimu pamoja na kuratibu shughuli za Uwekezaji. Idara hii inaongozwa na Afisa Mipango Wilaya na imegawanyika katika sehemu tatu kama ifuatavyo:-
Mipango na Sera
Majukumu ya Sehemu hii ni kama ifuatavyo:
Utafiti na Takwimu
Majukumu ya Sehemu hii ni kama ifuatavyo:
Ufuatiliaji na Tathmini ya Miradi ya Maendeleo.
Majukumu ya Sehemu hii ni kama ifuatavyo:
Kilimani Street
Anuani ya Posta: 126, Bunda
Simu: 0677002976
Hamishika: 0783669938
Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz
Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda