• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Bunda yaagiza wataalam kusiimamia mapato na miradi ya maendeleo.

Posted on: September 23rd, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mhe. Charles Manumbu amewataka Wataalamu wa Halmashauri  ya Wilaya ya Bunda  kusimamia mapato pamoja na miradi ya maendeleo  ili kufanikisha lengo la serikali kuweka miundombinu  bora kwa wananchi.

Akizungumza katika  Mkutano wa baraza la  Madiwani robo ya nne 2020/2021  lilifanyika Septemba 23 katika ukumbi wa Kanisa la Kibara .Mhe Manumbu amesema kuwa ni wajibu wa kila mtu kuhakikisha  mapato yanakusanywa na kupeleka fedha benki kwa wakati ili kuepusha matumizi ya fedha mbichi.

‘’sisi kama madiwani tutasimamia kwa nafasi zetu niwakumbushe wataalam kusimamia mapato kwa uwaminifu ili kuepusha kutengeneza mazingira ya  rushwa’’.amesema mhe.Manumbu

Aidha Mhe. Manumbu  amewataka wataalamu kusimamia miradi ya maendeleo ipasavyo  kwakuhakikisha taratibu za manunuzi zinafuatwa  pamoja na kufuatilia  hatua za  ujenzi ili kuhakikisha ubora wa majengo unapatikana.

‘’Wataalamu wamajengo na manunuzi niwajibu wenu kusimamia miradi yote katika hatua ya awali mpaka mwisho ili kupata majengo yaliyo bora’’.amesema Mhe.Manumbu

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bunda Bi Changwa Mkwazu amesisitiza katika kusimamia mapato  pamoja na miradi ya maendeleo ili kuendana na kasi ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais  Mhe Samia Suluhu Hassani.

‘’Halmasahauri yetu ina vyanzo vingi vya mapato niahidi tu mimi na wataalamu  wangu tutasimamia ipasavyo kuhakikisaha tunasonga mbele katika ukusanyaji mapato na kusimamia miradi’’amesema Bi Mkwazu.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Joshua Nassari ametoa pongezi kwa Waheshimiwa Madiwani kwa kusimamia ukusanyaji wa mapato na kudhamilia kuziba mianya inayo hatarisha kupoteza kwa mapato.

‘’nitoe rai kwa wataalamu kutoa ushirikiano kwa madiwani katika kusimamia mapato yasipotee’’amesema nassari

Kwahatua ingine baraza limeazimia kusimamisha kazi watumishi 11 ili kupisha uchunguzi watuhuma zinazowakabili katika upande wa manunuzi,mapato na ujenzi wa miradi ya maendeleo katika ngazi ya kijiji mpaka Halmashauri na watumishi watatu kupewa onyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRATIBU WA MRADI WA BCRAP ATAJA VIPAUMBELE VITAKAVYOENDA KUTEKLELEZWA KWA AWAMU YA PILI YA MRADI

    June 11, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 300 ZA POKELEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUHIMILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI

    June 09, 2025
  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda