• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WATENDAJI WA KATA WAMETAKIWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA UHAMASISHAJI WA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

Posted on: November 21st, 2025

Katibu tawala wa Wilaya ya Bunda, Ndugu Salum Mtelela kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mh. Aswege Kaminyoge aliongoza kikao cha kamati ya lishe ngazi ya Wilaya kilichofanyika siku ya tarehe 21/11/2025 katika ukumbi wa Halmashauri uliopo Kibara Stoo.


Ndugu Mtelela aliwaagiza watendaji wa kata kuendelea kuhamasisha na kutoa elimu kwa jamii hasa wazazi kuona umuhimu wa kuchangia chakula shuleni, kwani ajenda ya chakula shuleni ni muhimu na ni suala la Kitaifa, hivyo, Kila mzazi anawajibu wa kuhakikisha anachangiwa chakula shuleni na watoto wote wanapaswa kupata mlo kamili kuanzia darasa la awali hadi Sekondari.


Katika kikao hicho Maafisa lishe wa Halmashauri zote mbili waliweza kuwasilisha kadi alama tatu ambazo zinaonyesha muelekeo wa utoaji wa chakula shuleni na kwenye jamii, kuanzia ngazi ya kata, chama hadi Halmashauri, ambapo ilionekana kwa kiasi kikubwa kumekuwepo na wimbi la watoto wanaozaliwa chini ya uzito kamili hii ni kutokana na wazazi wengine kutokula mlo kamili na kuzingatia maelekezo ya wataalamu wa Afya pale wanapokuwa wajawazito.

Katika kikao hivo, mjumbe Mmoja aliwashauri watendaji wa kata kuhakikisha wanatembelea shuleni mara kwa mara ili kubaini changamoto wanazopitia walimu katika uhifadhi wa mazao shuleni baada ya kuvuna Toka shambani ama wanapoletewa na wazazi na kuweza kutatua mara Moja.


Pia, mjumbe mwingine alishauri suala la lishe liwe ni ajenda muhimu na kuu katika Kila vikao watakavyokaa na wananchi, hii itasaidia kuhamasisha uchangiaji wa chakula shuleni na wananchi kuona umuhimu wa watoto kupata lishe shuleni.


Watendaji walishauriwa kuhakikisha wanawashirikisha Maafisa tarafa na maafisa lishe ili waweze kusaidia katika kuweka msisitizo na hamasa ya kuchangia chakula shuleni.


Ndugu Mtelela alisema, tushirikane kwa pamoja katika kuhakikisha ajenda hii ya lishe inatekelezwa kwa usahihi kwa kuhakikisha wanafunzi wote wanakula chakula shuleni kuanzia darasa la awali hadi Sekondari.

Matangazo

  • WALIOFAULU USAILI- JIMBO LA BUNDA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO TAREHE 25/10/2025 NA 26- 27 /10/2025 KATIKA SHULE YA WASICHANA MARA October 17, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI August 27, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA KATA WAMETAKIWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA UHAMASISHAJI WA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    November 21, 2025
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA KANUNI, SHERIA NA TARATIBU ZA KAZI

    November 20, 2025
  • CRDB BANK YAKABIDHI VITI NA MEZA KWA SHULE YA SEKONDARI MANCHIMWERU.

    November 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YANUNUA BOTI MPYA KUTOKA KAMPUNI YA FISHNET MOTORS

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Istagram page
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form
  • Baraza la Madiwani

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda