• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

CWT WADHAMINI WAKUU BONANZA LA WATUMISHI, WILAYA YA BUNDA

Posted on: August 4th, 2025

Chama cha walimu Tanzania (CWT), Wilaya ya Bunda siku ya tarehe 2/8/2025 walidhamini bonanza la michezo kwa watumishi wa Wilaya ya Bunda yenye majimbo matatu ambayo ni Jimbo la Mwibara, Bunda Mjini na Jimbo la Bunda, bonanza lililofanyika katika viwanja vya shule ya Sekondari Makongoro iliyopo kata ya Nyamuswa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.


Katika bonanza Hilo, michezo mbalimbali ilichezwa ambayo ni mpira wa Pete, wavu,mpira wa mkono, mpira wa miguu, kuvuta kamba, kukimbiza kuku, kunywa soda na mingine mingi, lengo la kuandaa kwa bonanza la watumishi ni maandalizi ya kuelekea mashindano ya SHIMISEMITA yanayotarajiwa kuchezwa mkoani Tanga mapema mwezi wa Nane, 2025.


Mgeni rasmi katika bonanza Hilo alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Ndugu George S Mbilinyi, ambapo aliwashukuru CWT kwa kuweza kudhamini bonanza Hilo, na watumishi wote waliojitokeza kushiriki michezo hiyo.

Ndugu Mbilinyi, aliwaomba watumishi kuendelea kufanya mazoezi zaidi ili kuwa na nguvu ya kushiriki katika mashindano ya SHIMISEMITA, na pia alitoa zawadi kwa washindi walioshika nafasi ya kwanza hadi ya tatu, katika mchezo wa mpira wa miguu, Pete, mpira wa wavu na mpira wa mikono.


Naye, Kaimu Afisa michezo wa Halmashauri ya Bunda Mji, Ndugu Florian Cassian aliwashukuru wakurugenzi wote wa Halmashauri ya Mji wa Bunda na Bunda DC kwa kuweza kuwapa fursa watumishi ya kushiriki katika bonanza hili, kwani linasaidia kujenga Afya, mahusiano,baina ya watumishi.

Watumishi kutoka majimbo yote matatu waliwashukuru CWT pamoja na wakurugenzi wote kwa kuwezesha kufanyika kwa bonanza hili..


Ndugu Mbilinyi aliwahimiza watumishi na wananchi kujitokeza kwa wingi katika mapokezi ya MBIO za MWENGE ambao kimkoa tunatarajia kupokea tarehe 15/8/2025 katika Halmashauri ya Mji wa Bunda.


" Jitokeze kushiriki uchaguzi Mkuu wa mwaka, 2025 kwa Amani na Utulivu".

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI June 23, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DKT BWIRE AFADHILI VIFAA VYA MICHEZO KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    August 18, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI MARA

    August 15, 2025
  • TIMU YA HALMASHAURI YAAGWA RASMI KUELEKEA MASHINDANO YA SHIMISEMITA, TANGA

    August 14, 2025
  • WAIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI MKUU 2025 NGAZI YA KATA WALA KIAPO CHA KUTUNZA SIRI NA KUJITOA KATIKA CHAMA CHA SIASA

    August 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda