• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA WANUFAIKA WA MRADI WA BCRAP

Posted on: May 15th, 2025


Wajumbe wa kikao cha kamati ya usimamizi wa mradi wa kuhimili athari za mabadilo ya Tabianchi (BCRAP) siku ya tarehe 14/5/2025 wamefanya kikao cha uwasilishwaji na kujadili tàarifa mbalimbali za utekelezaji wa mradi kwa kipindi cha kuanzia Julai 2024 hadi April 2025.


Katika kikao hicho wajumbe wanaosimamia mradi waliweza kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa mradi ambazo waliwasilisha taarifa ya ufugaji wa samaki katika Kijiji cha Mchigondo na Isanju, taarifa ya ufugaji wa kuku katika vikundi nane, taarifa ya mashamba darasa ya kilimo, pamoja na taarifa ya Maji.


Wajumbe walizijadili taarifa hizo pamoja na changamoto zilizojitokeza katika mradi huo, ambapo ilionekana baadhi ya wanufaika wa mradi huo wameshindwa kusimamia na kuendeleza vikundi kutokana na kutokuwa na elimu ya kutosha pamoja ufuatiliaji wa Mara kwa mara katika usimamizi wa miradi hiyo.


Wajumbe waliazimia wasimamizi wote wanaosimamia mradi kuhakikisha wanaendelea kutoa elimu mara kwa mara kwa vikundi vyote kuanzia ufugaji samaki, kilimo na mifugo ili waweze kuwa na uelewa wa kutosha katika kusimamia miradi hiyo na kuwa na tija katika jamii inayowazunguka.


Pia, wajumbe wa kikao waliazimia kuwepo na ufuatiliaji wa karibu katika vikundi vinavyofaidika na mradi huo ili waweze kuuthamini mradi na kutekeleza kwa tija waweze kupata mafanikio yao kiuchumi na kijamii kwa ujumla katika kuhakikisha miradi yote inakuwa na tija kwao na endelevu katika jamii nzima.


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Ndugu Stafa Nashon aliwashukuru wajumbe kwa kuhudhuria kikao na kujadili taarifa zote kwa umakini mkubwa, na pia aliomba yale yote yaliyojadiliwa na kuazimiwa katika kikao yaende yakafanyiwe kazi.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA WANUFAIKA WA MRADI WA BCRAP

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda