• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Posted on: December 1st, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeadhimisha siku ya UKIMWI duniani kwa kufanya shughuli mbalimbali katika maadhimisho hayo ambapo walizindua kampeni ya utoaji wa matone ya Vitamin A kwa watoto wenye umri wa miezi sita hadi 59, utoaji wa dawa za minyoo kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano, uchangiaji wa damu, upimaji wa malaria, na homa ya ini.




Maadhimisho hayo yalifanyika siku ya tarehe 1/12/2024 katika stendi ya mabasi Nyamuswa na mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mh. Keremba Irobi.

Mh. Irobi alisema Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeendelea kutekeleza shughuli mbalimbali zinazohusiana na upimaji wa virus vya UKIMWI kwa kufanya upimaji wa Mara kwa mara kuanzia ngazi za vituo vya Afya, Zahanati na kwenye hospitali ya Wilaya.

Hali ya maambukizi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeshuka hadi kufikia asilimia 2.1 ambapo inaonyesha jamii imeanza kuelimika na kuhamasika kwenda kupima mara kwa mara kwa lengo la kujikinga na maambukizi mapya ya virus kwa kuhakikisha wanaanchana na Mila potofu za kurithi wajane na wagane, kufanya tohara kwa njia za kienyeji kwani zimekuwa kichocheo kikubwa cha kuongezeka kwa Virus vya UKIMWI.

" Leo hii inaonyesha ni kwa jinsi gani maambukizi ya virus vya UKIMWI yanavoshuka, hivyo inaonyesha ni kwa jinsi gani jamii inavyoanza kujali katika kuhakikisha inadhibiti maambukizi ya virus vya UKIMWI." Alisema Mh. Irobi.

Lengo kuu la maadhimisho haya ni kutafakari hali halisi ya mwelekeo wa kudhibiti maambukizi ya virus vya UKIMWI kitaifa na kimataifa. UKIMWI umekuwepo nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka 40 sasa na unaendelea kuleta athari kubwa katika jamii kiuchumi na kijamii katika Taifa letu, hivyo hatuna budi kuachana na Mila potofu.

Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani yalihudhuriwa na wadau kutoka Amref,  na USAID kizazi hodari.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRATIBU WA MRADI WA BCRAP ATAJA VIPAUMBELE VITAKAVYOENDA KUTEKLELEZWA KWA AWAMU YA PILI YA MRADI

    June 11, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 300 ZA POKELEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUHIMILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI

    June 09, 2025
  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda