• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Posted on: December 1st, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeadhimisha siku ya UKIMWI duniani kwa kufanya shughuli mbalimbali katika maadhimisho hayo ambapo walizindua kampeni ya utoaji wa matone ya Vitamin A kwa watoto wenye umri wa miezi sita hadi 59, utoaji wa dawa za minyoo kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano, uchangiaji wa damu, upimaji wa malaria, na homa ya ini.




Maadhimisho hayo yalifanyika siku ya tarehe 1/12/2024 katika stendi ya mabasi Nyamuswa na mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mh. Keremba Irobi.

Mh. Irobi alisema Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeendelea kutekeleza shughuli mbalimbali zinazohusiana na upimaji wa virus vya UKIMWI kwa kufanya upimaji wa Mara kwa mara kuanzia ngazi za vituo vya Afya, Zahanati na kwenye hospitali ya Wilaya.

Hali ya maambukizi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeshuka hadi kufikia asilimia 2.1 ambapo inaonyesha jamii imeanza kuelimika na kuhamasika kwenda kupima mara kwa mara kwa lengo la kujikinga na maambukizi mapya ya virus kwa kuhakikisha wanaanchana na Mila potofu za kurithi wajane na wagane, kufanya tohara kwa njia za kienyeji kwani zimekuwa kichocheo kikubwa cha kuongezeka kwa Virus vya UKIMWI.

" Leo hii inaonyesha ni kwa jinsi gani maambukizi ya virus vya UKIMWI yanavoshuka, hivyo inaonyesha ni kwa jinsi gani jamii inavyoanza kujali katika kuhakikisha inadhibiti maambukizi ya virus vya UKIMWI." Alisema Mh. Irobi.

Lengo kuu la maadhimisho haya ni kutafakari hali halisi ya mwelekeo wa kudhibiti maambukizi ya virus vya UKIMWI kitaifa na kimataifa. UKIMWI umekuwepo nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka 40 sasa na unaendelea kuleta athari kubwa katika jamii kiuchumi na kijamii katika Taifa letu, hivyo hatuna budi kuachana na Mila potofu.

Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani yalihudhuriwa na wadau kutoka Amref,  na USAID kizazi hodari.

Matangazo

  • WALIOFAULU USAILI- JIMBO LA BUNDA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO TAREHE 25/10/2025 NA 26- 27 /10/2025 KATIKA SHULE YA WASICHANA MARA October 17, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI August 27, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA KATA WAMETAKIWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA UHAMASISHAJI WA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    November 21, 2025
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA KANUNI, SHERIA NA TARATIBU ZA KAZI

    November 20, 2025
  • CRDB BANK YAKABIDHI VITI NA MEZA KWA SHULE YA SEKONDARI MANCHIMWERU.

    November 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YANUNUA BOTI MPYA KUTOKA KAMPUNI YA FISHNET MOTORS

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Istagram page
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form
  • Baraza la Madiwani

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda