• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIKAO CHA KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO, KUPOKEA TAARIFA YA ROBO YA KWANZA 2023/2024 KUTOKA KATIKA IDARA NA VITENGO MBALIMBALI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA.

Posted on: November 7th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Bi. Changwa M. Mkwazu ambaye ni katibu wa kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango (FUM), alifungua kikao cha robo ya kwanza kwa mwaka 2023/2024 kwa kumkaribisha Mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye ni Diwani wa Kata ya Iramba, Mh. Charles Manumbu siku ya tarehe 3/11/2023, katika ukumbi wa Halmashauri.

Lengo la kikao hicho ni kupokea taarifa mbalimbali za utekelezaji katika kipindi cha robo ya kwanza kuanzia mwezi Julai hadi Septemba, 2023 kutoka katika Idara na Vitengo mbalimbali.

Mwenyekiti wa Kamati, alianza kwa kumpongeza Mkurugenzi Mtendaji kwa  hatua aliyochukua kwa kuhamia katika jengo jipya la utawala lililopo Kibara Stoo, ambalo  bado ujenzi wake  unaendelea, lakini wameweza kuhamia hivyo kwa mujibu wa sheria.

Mh. Manumbu pia, alimuagiza, Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kuhakikisha kwamba anakusanya mapato ya kutosha kutoka katika vyanzo vyake alivo navyo kwa ngazi zote kuanzia Kata na Vijiji.

Aidha, Mjumbe mmoja wa kamati aliwashauri Waheshimiwa Madiwani kuhakikisha wanasimamia mapato vizuri katika Kata zao kutokana na vyanzo vya mapato vilivyopo.

Pia, aliwaagiza Watumishi kubadilika na kufuata taratibu na sheria za kazi kama zinavyotakiwa, wanapoamua kufanya maamuzi katika mradi wowote ule wahakikishe wanafuata taratibu na sheria za utumishi wa umma.

Kamati ilihitimisha kikao kwa kutoa taarifa ya ziara walioifanya kwa siku mbili katika kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Matangazo

  • TANGAZO LA MKOPO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA October 09, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI BUNDA DC September 25, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI / MAFUNDI UJENZI September 06, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI BUNDA DC September 08, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA SOMO LA HISABATI WA SHULE ZA MSINGI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WANOLEWA

    November 21, 2023
  • mKUTANO WA BARAZA LA KATA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA KUPOKEA TAARIFA MBALIMBALI ZA KATA

    November 15, 2023
  • WALIMU WAKUU WA SHULE ZA MSINGI NA MAAFISA ELIMU KATA WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA KATA

    November 14, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YAPOKEA JUMLA YA VITABU 60,739 KWA SHULE ZA AWALI NA MSINGI, PAMOJA NA SEKONDARI

    November 13, 2023
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0754821313

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda