• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WA KIJIJI CHA KURUSANGA WAONYWA KUACHA TABIA YA KUJICHUKULIA SHERIA MIKONONI.

Posted on: January 9th, 2025

Wananchi wa Kijiji cha  Kurusanga Kata ya Salama iliyopo Halmashauri ya  wilaya ya Bunda,  wameombwa kuendelea kuchukia uhalifu na  kujizuia kujichukulia sheria mkononi kwani inasababisha madhara hata kwa wasio na hatia.

Rai hiyo,  imetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara Kamishna Msaidizi Mwandamizi Ndg Pius Lutumo, siku ya tarehe 8/1/2025 ,alipofanya ziara katika Kata ya Salama ili kuongea na wananchi juu ya masuala ya ulinzi na usalama.

Ziara hii imekuja  baada ya kutokea tukio la mtu mmoja alieshukiwa kuwa ni mwizi wa Ng’ombe kupigwa na  kuuwawa na wananchi wenye hasira kali katika Kijiji cha Kurusanga siku chache zilizopita.

Pamoja na hayo,  Kamanda ameendelea kwa kusema kua matatizo haya ya mauaji,wizi na ukorofi huwa yanaanza na uzembe wa wananchi kwa nafasi zao kutochukua hatua stahiki kila mara pale tatizo linapojitokeza hali inayosababisha hali ya kulea tatizo.

Hivyo,  ameagiza Kata kuunda kamati za ulinzi na usalama kuanzia ngazi za vitongoji na vikundi vya ulinzi ambavyo vitajengewa uwezo na ofisi ya OCD.

Kamanda Lutumo alitoa kauli ya kuwataka wale wote waliokimbia miji yao kutokana na tukio la mshukiwa wa wizi kuuwawa warudi mara moja kwenye miji yao wakati huu ambapo jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wake kwani Serikali ina mkono mrefu na haijashindwa kuwapata.

Matangazo

  • WALIOFAULU USAILI- JIMBO LA BUNDA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO TAREHE 25/10/2025 NA 26- 27 /10/2025 KATIKA SHULE YA WASICHANA MARA October 17, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI August 27, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA KATA WAMETAKIWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA UHAMASISHAJI WA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    November 21, 2025
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA KANUNI, SHERIA NA TARATIBU ZA KAZI

    November 20, 2025
  • CRDB BANK YAKABIDHI VITI NA MEZA KWA SHULE YA SEKONDARI MANCHIMWERU.

    November 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YANUNUA BOTI MPYA KUTOKA KAMPUNI YA FISHNET MOTORS

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Istagram page
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form
  • Baraza la Madiwani

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda