• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

WAWAKILISHI WA WAZEE WAKUTANA KWA AJILI YA KUSOMEWA MUONGOZO MPYA WA UANZISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

Posted on: July 4th, 2025



Tangu kuzinduliwa rasmi kwa Baraza la wazee katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda siku ya tarehe 15/6/2023, katika Kata ya Mugeta, kwa mara ya kwanza Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imefanya kikao cha Baraza la wazee kwa kuwaalika viongozi wa ngazi mbalimbali kuanzia Kijiji, kata hadi Halmashauri kwa niaba ya wazee wote waliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Afisa ustawi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, ambaye ni Mratibu wa huduma za wazee Bi. Neema Milanzi alisema, lengo la kuitisha kikao hiki ni kwa ajili ya kuwasomea muongozo wa Kitaifa wa uanzishwaji na uendeshaji wa mabaraza ya ushauri ya wazee.

Kufahamu, majukumu ya viongozi waliochaguliwa katika mabaraza ya ushauri ya wazee ambayo yanaanzia ngazi za vijiji, kata, hadi Halmashauri, sifa za kuwa kiongozi katika mabaraza hayo ya ushauri ya wazee.

Bi. Milanzi pia, alielezea idadi ya vikao kisheria vinavyotakiwa kufanyika katika mabaraza hayo kuwa ni vinne kwa mwaka, na ukomo wa kuwa kiongozi katika mabaraza hayo ni miaka mitano, ndio uchaguzi mwingine utafanyika kwa ajili ya kuchagua viongozi wapya.

Afisa ustawi alieleza sababu zinazopelekea ukomo wa kuwa kiongozi katika mabaraza hayo ikiwemo kifo.

Katika kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri siku ya tarehe 3/7/2025, Bi. Milanzi alisoma taarifa ya huduma za wazee, mafanikio, changamoto, na utatuzi wake katika kuhakikisha wanaboresha mabaraza yote ya ushauri ya wazee kwa ngazi zote.

Aidha, katika kikao hicho wajumbe waliweza kupokea mrejesho wa maadhimisho ya siku ya wazee Duniani Kitaifa yaliyofanyika Tabora na Shinyanga kutoka kwa Mzee. Range Chacha.

Wawakilishi hao wa wazee, walishukuru kwa kufanyika kwa kikao hicho kwa mara ya kwanza tangu walipozindua Baraza lao, pia waliwasilisha changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo kwa upande wa kupata huduma za matibabu, na upande wa taasisi za mikopo kuwanyima mikopo kwa kisingizio cha uzee.

Muwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji, ambaye ni Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Ndugu Bruno Yulop aliwapongeza viongozi hao na aliwashukuru kwa kuweza kuhudhuria kikao hicho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI June 23, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YATOLEWA KWA WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    July 10, 2025
  • WAWAKILISHI WA WAZEE WAKUTANA KWA AJILI YA KUSOMEWA MUONGOZO MPYA WA UANZISHWAJI WA BARAZA LA WAZEE KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    July 04, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YATAKIWA KUTOA ELIMU KWA WAFANYABIASHARA KUHUSIANA NA UUZAJI NA UNUNUZI WA KUTUMIA STAKABADHI GHALANI

    July 02, 2025
  • ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

    June 27, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda