• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA.

Posted on: January 28th, 2025

Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ambaye ni diwani wa kata ya Iramba Mh. Charles Manumbu siku ya tarehe 28/1/2025 aliongoza wajumbe wa kamati ya fedha, uongozi na Mipango kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Kamati ikiongozwa na wakuu wa idara na vitengo walitembelea na kukagua ukamilishaji wa bwalo la chakula katika shule ya Sekondari ya wasichana Mara, ukamilishaji wa bweni Moja la wasichana, pamoja na ujenzi wa mabweni manne ya wasichana na Madarasa pamoja na majengo mengine yanayajengwa katika shule hiyo ya Sekondari ya wasichana Mara.



Pia, kamati ilitembelea na kukagua ujenzi wa shule ya Sekondari iliyopo Kijiji cha Mayolo ambapo ujenzi wake upo katika hatua mbalimbali za ujenzi.



Aidha, katika ziara hiyo kamati ilitembelea na kukagua ukamilishaji wa nyumba ya Mkurugenzi na watumishi pamoja na jengo la Utawala.


Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango walipongeza  wasimamizi wa miradi kwa usimamizi wao mzuri na waliagiza uongozi wa Halmashauri kuendelea kuwasimamia mafundi ili waongeze Kasi ya ujenzi na waweze kukamilisha kwa wakati.

Matangazo

  • WALIOFAULU USAILI- JIMBO LA BUNDA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO TAREHE 25/10/2025 NA 26- 27 /10/2025 KATIKA SHULE YA WASICHANA MARA October 17, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI October 11, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI August 27, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA KATA WAMETAKIWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA UHAMASISHAJI WA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI

    November 21, 2025
  • MAAFISA UGANI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA KUFUATA KANUNI, SHERIA NA TARATIBU ZA KAZI

    November 20, 2025
  • CRDB BANK YAKABIDHI VITI NA MEZA KWA SHULE YA SEKONDARI MANCHIMWERU.

    November 18, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YANUNUA BOTI MPYA KUTOKA KAMPUNI YA FISHNET MOTORS

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Istagram page
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form
  • Baraza la Madiwani

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda