• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI, KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

Posted on: April 13th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Ndugu George Stanley Mbilinyi siku ya tarehe 11/4/2024 alifanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika halmashauri ya Wilaya bunda, hususani katika Jimbo la Mwibara.

Ndugu Mbilinyi alitembelea na kukagua kituo cha Afya Isanju na kukagua jengo moja baada ya jingine, alimuagiza Mganga mfawidhi wa kituo kuhakikisha anasimamia usafi wa mazingira katika kituo hicho kwa kuhakikisha mazingira yote nje na ndani ya kituo yanakuwa masafi.


Pia alimuagiza Muhandisi wa Halmashauri kuhakikisha anafanya thathimini ya kiasi cha fedha zinazohitaji kwa ajili ya umaliziaji wa jengo la mama na motto, ili kuondoa adha ya kuharibika kwa saruji ambazo zipo stoo pamoja na vifaa vingine vya ujenzi.


Aidha, Ndugu Mbilinyi alitembelea na kukagua mradi wa ufugaji wa samaki na kilimo cha umwagiliaji uliopo katika kijiji cha Mchigondo Kata ya Igundu, ambapo aliweza kukagua maabara ya kutotoleshea mayai ya samaki, vizimba vya samaki vilivyopo ziwa Victoria, mabwawa ya kufugia samaki wazazi na vifaranga vya samaki.



Mkurugenzi Mtendaji alitembelea na kukagua ujenzi wa matundu ya manne ya vyoo katika shule ya msingi Bulomba, matundu matatu ya vyoo katika shule ya msingi Bulendabufwe na matundu matano ya vyoo katika zahanati ya Sunsi, ambapo ujenzi upo katika hatua mbalimbali za ukamilishaji katika miradi hiyo, Pia alikagua ujenzi wa tanki la maji katika zahanati ya Sunsi, na ukamilishaji wa vyumba viwili katika zahanati ya Sunzi.



Ndugu Mbilinyi, aliwaagiza wasimamizi wote wa miradi kuhakikisha wanafuata taratibu, kanuni na sharia za manunuzi za vifaa vya ujenzi kupitia mfumo wa Nest, pia alimuagiza Muhandisi kuhakikisha anaitembelea miradi hiyo mara kwa mara na kuhakikisha inajengwa kwa kufuata viwango sahihi na kukamilika kwa wakati.

Katika ziara hiyo, Mkurugenzi Mtendaji aliongozana na timu ya wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRATIBU WA MRADI WA BCRAP ATAJA VIPAUMBELE VITAKAVYOENDA KUTEKLELEZWA KWA AWAMU YA PILI YA MRADI

    June 11, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 300 ZA POKELEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUHIMILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI

    June 09, 2025
  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda